Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Malamba Mawili, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 200000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 hadi 6, Umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, paving block, tank lako la maji, kutoka kituoni dakika 4 hadi 5 tu, Location ya mbezi malamba mawili dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Bila kusahau pesa ya dalalu















