Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

Maelezo

πŸ“ž

NYUMBA MPYA NA YA KISASA INAPANGISHWA – MBEZI MWISHO! πŸ”₯

Acha kuhangaika na nyumba zilizochoka! Hii ni fursa ya kupata mjengo wa kisasa wa chumba kimoja cha master na sebule, wenye kila aina ya starehe na ustawi unaotafuta.

Sifa Kuu:

πŸ›οΈ Chumba kimoja kikubwa cha master na Sebule ya kisasa

❄️ Inakuja na Air Conditioner (AC) – sahau kero ya joto!

🧱 Mazingira safi yenye pave blocks vizuri

πŸ”’ Eneo tulivu na lenye ulinzi wa kutosha

πŸ“ Location: Mbezi Mwisho

πŸ’° Kodi: TZS 300,000/= tu kwa mwezi!

Nyumba za muonekano huu na huduma zote hizi kwa bei hii huwa hazikai sokoni! Wahi sasa kabla haijachukuliwa na mtu mwingine.

πŸ“ž Piga / WhatsApp sasa hivi:

DALALI AMANI

dalali_goba_madale_makongo

@dalali_goba_madale_makongo

View Listings

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

DALALI AMANI