Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Miganga, Dodoma

Miganga, Dodoma
2 hours ago
Sh. 200,000/month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
2000m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 MASTER SEBULE NA JIKO CLASSIC MPYA INAPANGISHWA 🏡
📍 Mahali: Miganga – Dodoma
💰 Kodi: Tsh 200,000/=
✨ Sifa za Nyumba:
🛏️ Chumba Master
🛋️ Sebule
🍽️ Jiko la kisasa (Classic Mpya)
✅ Huduma:
💧 Maji ya Kisima
⚡ Umeme wa LUKU (Unajitegemea)
🛣️ Boda ni Tsh 2,000 tu kufika Barabara ya Lami
📞 Mawasiliano:
0787 037 986
0757 037 986
Karibuni Bupalu Real Estate – Tunakupatia nyumba bora kwa bei nafuu.















