Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mwanza









Mwanza
5 hours ago
Sh. 250,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
➡️ Inapangishwa kali sana
➡️ Chumba kimoja master
➡️ Sebule na jiko ( with kitchen)
➡️ Unajitegemea umeme & maji
➡️ Nyumba mbili kwenye fensi
➡️ Water heater & reserve tank
➡️ Rent 250,000 per month
➡️ Contact us ☎️















