Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mwenge, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
🏠 NYUMBA INAPANGISHWA – MWENGE 🏠
Nyumba nzuri yenye chumba kimoja, sebule kubwa sana na jiko ambalo linaweza kutumika kama chumba pia, inapangishwa maeneo ya Mwenge kwa bei ya 500,000/= tu kwa mwezi.
✨ Inafaa kwa:
✅ Office
✅ Saloon
✅ Biashara mbalimbali
✅ Makazi ya kisasa
📍 Ipo mazingira mazuri sana ya biashara na makazi
📍 Inatizama lami kabisa
📍 Sebule ina nafasi kubwa sana na mpangilio mzuri
💰 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748















