Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Sinza Mgabe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba kizuri kinapangishwa kipo sinza mgabe sio mastar ila choo ndani wapangaji 2 kinapa laki 150 000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 ww tu
Service charge yakuona nyumba ni shi 30000 pia nakodi yamwezi 1 wadalali
Call
0716938128
0760097834 whatsAp















