Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master, sebule na jiko bei 200000 kwa miezi 7 na kwa bei ya 250000 kwa miezi 6, Location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, fence ipo na ulinzi upo kwa mwezi sh 10000
Kutoka kituoni dakika 5 hivi
Calls/whatsapp 0653233641 au 0768682919
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















