Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam
Tabata, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 300,000/month
Maelezo
π CHUMBA MASTER + SEBULE + JIKO INAPANGISHWA! π₯
π Ipo Tabata Kinyerezi β The Voice
π° Bei: TZS 300,000/= kwa mwezi
β¨ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu, inafaa kwa mtu au familia inayotafuta sehemu nzuri ya kuishi.
π Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, piga simu:
Usikose nafasi hii, wasiliana nasi mapema! π π²















