Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 120,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Uzio

Maelezo

Chumba master inapangishwa bei 120000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6. Fensi ipo. Hii chumba ipo maeneo ya tabata kinyerezi kwa ditopile mtaa wa tegi dar es salaam

Calls/Whatsapp 0653233641 au 0768682919

Service survey charge tsh 15000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo chumba hii