Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam


Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 120,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Uzio
Maelezo
Chumba master inapangishwa bei 120000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6. Fensi ipo. Hii chumba ipo maeneo ya tabata kinyerezi kwa ditopile mtaa wa tegi dar es salaam
Calls/Whatsapp 0653233641 au 0768682919
Service survey charge tsh 15000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo chumba hii
