Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

Maelezo

šŸ”šŸ”„ NYUMBA MPYA KABISA INAPANGISHWA – TABATA SEGEREA CHAMA!

Unatafuta nyumba nzuri, mpya na yenye mazingira mazuri kwa ajili ya kuishi? šŸ āœØ Hii ni nafasi yako!

šŸ›ļø Chumba Master
šŸ›‹ļø Sebule kubwa
šŸ³ Jiko zuri
🌿 Mazingira mazuri na tulivu

šŸ“ Ipo Tabata Segerea Chama
šŸ’° Kodi ni 300,000/= kwa mwezi

Nyumba ipo tayari kwa mpangaji, hivyo usipoteze muda. Kama unahitaji nyumba yenye mpangilio mzuri na mazingira mazuri ya kuishi, wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi na kuja kuiona.

šŸ“ž Piga simu:
šŸ”‘ Nyumba mpya, sehemu nzuri, bei rafiki!

DALALI BEDA | NYUMBA TABATA

dalalibeda_tabata1

@dalalibeda_tabata1

View Listings

Matangazo mengine Segerea, Dar Es Salaam

DALALI BEDA | NYUMBA TABATA