Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

Maelezo

CHUMBA MASTER BEDROOM SEBULE na JIKO KINAPANGISHWA šŸ”
šŸ“ Location: Tabata Segerea
šŸ’° kodi: TSh 300,000 kwa mwezi
Unatafuta nyumba yenye nafasi nzuri, mazingira salama na yenye utulivu? Hiki ndicho unachokihitaji!
āœ… Chumba Master Bedroom
āœ… Sebule ya kisasa
āœ… Jiko la kupikia
āœ… Umeme wa kujitegemea
āœ… Maji yanapatikana
āœ… Mazingira mazuri na salama
Usikose nafasi hii ya kupata makazi bora kwa bei nafuu katika eneo la Tabata Segerea.

šŸ“ž Kwa maelezo zaidi 0652-692028

Matangazo mengine Segerea, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 350,000/month

For Rent2 beds2 bathsapartment