Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tegeta Wazo Msigani, Dar Es Salaam








Wazo, Dar Es Salaam
1 day ago
Sh. 150,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba kimoja ambacho ni master na jiko kinapangishwa. Tsh 150,000/= kwa mwezi. Kipo tegeta wazo msigani karibu na mahakamani. Dakik 1 toka lami kinajitegemea umeme na maji na kiko ndani ya fence kina parking na nyumba ina electric fence ndani mpo watatu tu. Nyumba ni mpya











