Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Temboni, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Bafu
1
Barabara ya Karibu
1.5km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAPANGISHWA
IPO - DAR ES SALAAM
📍ENEO- TEMBONI
Upande wa kulia kama unaenda mbezi
📍BEI - 120,000 x6. MPYAA KABISA 💥
NYUMBA
YENYE
______
🔸Chumba kimoja cha kulala
🔸Choo ndani
🔸 Maji yanatoka ndani
🔸Jiko
🔸Wapangaji 5 tu, hamna mwenye nyumba hapa
🔸Ila kimoja ndicho kipo waziiii
🔸Madrisha ya kioo
🔸Umeme
♦️ Fensi inajengwaa,ila hailazi gari
🔸Umbali wa 1.5km
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347















