Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Makoka Kwa Mkuwa, Dar Es Salaam
Ubungo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 200,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
#Repost @dalali_mkuu_ubungo_tabata
——
:
📌CHUMBA KIMOJA MASTER BEDROOM
📌JIKO
#BEI Tsh. 200k
ipo #Ubungo_Makoka_Kwa_Mkuwa Njia ya Korogwe Maji Chumvi/External, Barabara ya Zege
inajitegemea Umeme na Maji Yanaflow Ndani
ipo Ndani ya Fensi Parking ipo
#Kodi: 200k x 3
Survey Charge 20
Ukipenda Nyumba Utalipa Mwezi Mmoja kwa Dalali Pindi Unapolipia nyumba
# whtsp















