Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Riverside Makoka, Dar Es Salaam









Ubungo, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 130,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Location ubungo riverside makoka km2 usafiri upo bajaji na boda
Kodi 130000 kwa mwezi na dalali mwezi 1 Service charge 20000 kuona nyumba
Chumba kimoja master
Umeme wa kushea
Maji dawasa ndani yanafloo
Mazingira tulivu sana
Nyumba ipo ndani ya fency
dalali pilipili















