Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kibada Kisarawe II, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA KISARAWE ll
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa na mazingira mazuri? Hii hapa fursa yako!
Sifa za nyumba:
• Vyumba 6 vyote master
• Sebule kubwa, dining na jiko la kisasa
• Boys quarter 2
• Eneo la kiwanja: SQM 4000
• Hati ya Wizara ipo
Mahali:
• Kibada Kisallawe ll Kigamboni
Bei: Tsh BILIONI 1.3 (mazungumzo yapo)
Nyumba ipo katika eneo tulivu, salama na lenye miundombinu nzuri – inafaa kwa makazi ya kifamilia au uwekezaji.
Wasiliana sasa kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea!









