Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Kisarawe II, Dar Es Salaam (600 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI, KISARAWE II
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa ipo eneo tulivu la Kishua, Kigamboni.
๐น Maelezo ya Nyumba:
* Vyumba 3 (2 Master)
* Sebule kubwa na sehemu ya dining
* Jiko la kisasa
๐น Ukubwa wa Eneo:
* SQM 600
๐น Hati:
* Hati halali ya Wizara
๐น Sifa Muhimu:
* Kisima cha maji matamu
* Full AC (vyumba vyote vina viyoyozi)
* Maegesho yenye paving nzuri
* CCTV Camera (ulinzi wa uhakika)
* Garden nzuri na ya kuvutia
* Ipo kwenye mtaa wa kishua (location nzuri na tulivu)
๐ฐ Bei: Milioni 130 (Mazungumzo yapo)
๐0769554221
#trendingvideos #istagram #tanzania๐น๐ฟ #realestateforsale #trendingnow









