Tafuta

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam (1000 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 250,000,000

Aina

Nyumba

House for sale in Mbezi

Vyumba

6

6 bedroom House for sale in Mbezi

Bafu

2

Ukubwa

1000 SQM

Barabara ya Karibu

1km — Morogoro Road

Huduma na Sifa

Maelezo

FOR SALE 250,000,000/= 💥JUMBA LA KISASA KUBWA

BANGALOO KUBWA ZURI LENYE HATI MILIKI LINAUZWA 250 000,000/= MILION MAONGEZI YAPO

💥 NYUMBA HII KUBWA LA KISASA LINA SIFA ZIFUATAZO

# VYUMBA 6 VYA KULALA KATI YA HIVYO VYUMBA 2 NI MASTER BEDROOM KUBWA

#SEBULE KUBWA
#DINNING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#PUBLIC TOILET ZIPO MBILI YAANI JUU GORAFANI NA CHINI PIA
STORE ZIPO 2
MAKABATI YA NGUO VYUMBANI

NYUMBA HII INA HATI MILIKI

UKUBWA WA ENEO NI:- SQUARE METER 1000

BEI YA KUUZWA NYUMBA HII NI SHILINGI MILIONI 250M MAONGEZI YAPO

🇹🇿 NYUMBA HII IPO MBEZI KWA MSUGURI UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 1 USAFIRI NI BODABODA SH ELFU 1 TUU HADI KWENYE NYUMBA

NYUMBA HII KWA SASA INAMPANGAJI NDANI ANALIPA KODI SHILINGI LAKI 8 (800,000/= TSH) KWA MWEZI

💥 KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 30

0713 320 608
0686 334 182

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 140,000,000

For Sale3 beds1 bath600 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 150,000,000

For Sale3 beds1 bath1,200 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Sh. 370,000,000

For Sale4 beds2 baths4,000 sqmhouse