Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 140,000,000

Maelezo

NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TZS. 140 MILIONI,MBEZI-MWISHO

Eneo ni wastani wa kilomita 1 tu kutoka MAGUFULI TERMINAL.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Nyumba ina Vyumba 3 vya kulala ( Madta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Ipo ndani ya Fensi na pia ina Servant's Quarter ambayo haijakamilika, iko kwenye hatua ya Linta.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

____________sllMbx

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 250,000,000

For Sale6 beds2 baths1,000 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 150,000,000

For Sale3 beds1 bath1,200 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Sh. 370,000,000

For Sale4 beds2 baths4,000 sqmhouse