Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TZS. 140 MILIONI,MBEZI-MWISHO
Eneo ni wastani wa kilomita 1 tu kutoka MAGUFULI TERMINAL.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ina Vyumba 3 vya kulala ( Madta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ipo ndani ya Fensi na pia ina Servant's Quarter ambayo haijakamilika, iko kwenye hatua ya Linta.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________sllMbx















