Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (600 sqm)

Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
15 hours ago
Sh. 280,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Tiles
Potential For Apartments
Potential For Guest House
Potential For Office
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – TABATA SEGEREA
Nyumba inauzwa ipo Tabata Segerea, karibu kabisa na barabara ya lami (nyumba ya pili kutoka lami). Inafikika kwa urahisi, mitaa ni mizuri na eneo limetulia kwa makazi na biashara.
🔹 Ukubwa wa eneo: Sqm 600
🔹 Nyumba kuu: Vyumba 6
🔹 Aina: Ina muundo unaofaa kuboreshwa (renovation) kuwa:
* Apartments
* Guest House / Lodge
* Ofisi
* Au makazi binafsi ya kisasa
🔹 Hati: Hati miliki ya Wizara ipo tayari
🔹 Bei: TZS Milioni 280 (mazungumzo yapo)
📍 Eneo lina potential kubwa kibiashara — uwekezaji wako unaweza kuanza kuingiza kipato haraka.
📞 Wasiliana sasa: +255688412890
Dalali wako Wakishua – chagua mali sahihi, ishi maisha bora.
