Nyumba ya vyumba 7 inauzwa Kibada Ushuani, Dar Es Salaam (1800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
7
Ukubwa
1800 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ BOMA LA KIFAHARI LINAUZWA β KIGAMBONI KIBADA USHUANI, DAR ES SALAAM π‘
π₯ Nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 7 inauzwa katika eneo la kifahari sana Kibada Ushuani, Kigamboni.
Nyumba imejengwa kwa standard ya hali ya juu sana ingawa bado haijakamilika kabisa β foundation na structure yake ni ya kisasa na imara sana.
π LOCATION: Kibada Ushuani β Kigamboni, Dar es Salaam
π Ukubwa wa eneo: SQM 1,800
π Hati safi
π Eneo kubwa la parking
π΄ Space ya garden
πββοΈ Eneo la swimming pool
ποΈ Nafasi ya servant quarter
π§± Paving na maboresho mengine yanaweza kukamilishwa kwa urahisi
β
Umbali:
* Mita 300 tu kutoka barabara ya lami
* Kilometa 7 mpaka Ferry
* Kilometa 6 mpaka Darajani
π Mtaa mzuri sana wenye maendeleo makubwa na majirani wa kisasa.
π° BEI: TZS 250,000,000
π£οΈ Mazungumzo madogo yapo.
π΅ Service Charge: Tsh 30,000 kwa kwenda kuona site
π Call / WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaamrealestate















