Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Mbweni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก Nyumba ya Vyumba 4 vya Kulala โ Mbweni, Zanzibar
Ipo Mbweni, Zanzibar, dakika 15 tu kwa gari kutoka Stone Town, na iko karibu kabisa na barabara kuu kwa urahisi wa usafiri.
Pia, kuna migahawa mingi iliyo karibu, hivyo kama hupendi kupika hutapata usumbufu wa kupata chakula.
๐
Wahi kufanya booking yako mapema!
๐ OFA MAALUMU
Kuanzia tarehe 8 hadi 15 Julai, nyumba hii inapatikana kwa TSh 350,000 tu kwa usiku.
โ
Inafaa kwa hadi watu 8 kulala kwa starehe kabisa vitanda ni vikubwa mno
๐ Wasiliana nasi sasa:
0659 359 393















