Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Miganga, Dodoma

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
5
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KIFAHARI INAPANGISHWA – MIGANGA, DODOMA
🏡 Stand Alone House ya Vyumba 4 vya Kulala
Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Dining room
✅ Jiko zuri lenye makabati ya kisasa
✅ Public toilet
Huduma Zinazopatikana:
✔ Umeme
✔ Maji ya kisima yanayopatikana muda wote
✔ Swimming pool
✔ Bwawa la samaki
Mahali:
📍 Miganga, Dodoma
📏 Kilomita 8 kutoka City Centre
📏 Kilomita 2 kutoka barabara ya lami
Kodi:
💰 TSh 1,500,000 kwa mwezi
Mawasiliano:
📞 0787 037 986
📞 0757 037 986
Karibu Bupalu Real Estate
Tunakusaidia kupata nyumba bora kwa makazi au biashara.















