Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Gezaulole, Kigamboni, Dar Es Salaam (160 sqm)
Maelezo
🏡 GHOROFA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI GEZAULOLE, DAR ES SALAAM 🏡
Unatafuta nyumba ya kifahari katika eneo tulivu na lenye hadhi? Hii ndiyo fursa yako!
📍 Mahali: Gezaulole, Kigamboni – Dar es Salaam
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 160
📄 Hati ya Wizara ya Ardhi (Kiwanja kimepimwa)
✨ Sifa za nyumba:
🛏️ Vyumba 4 vya kulala
🛋️ Sebule kubwa na ya kisasa
🍽️ Dining room
🍳 Jiko la kisasa
🚗 Parking ya kutosha
🧱 Paving block
🌳 Garden nzuri
⚡ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu
💰 Bei: TZS 420,000,000
Nyumba hii ipo katika mazingira mazuri, salama na yanayofaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa muda mrefu.
📞 Wasiliana sasa:
💼 Service Charge: TZS 30,000
📲 Instagram: dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni DarEsSalaam LuxuryHome HouseForSale















