Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Gezaulole, Kigamboni, Dar Es Salaam (160 sqm)

Sh. 420,000,000

Maelezo

🏡 GHOROFA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI GEZAULOLE, DAR ES SALAAM 🏡

Unatafuta nyumba ya kifahari katika eneo tulivu na lenye hadhi? Hii ndiyo fursa yako!

📍 Mahali: Gezaulole, Kigamboni – Dar es Salaam
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 160
📄 Hati ya Wizara ya Ardhi (Kiwanja kimepimwa)

✨ Sifa za nyumba:
🛏️ Vyumba 4 vya kulala
🛋️ Sebule kubwa na ya kisasa
🍽️ Dining room
🍳 Jiko la kisasa
🚗 Parking ya kutosha
🧱 Paving block
🌳 Garden nzuri
⚡ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu

💰 Bei: TZS 420,000,000

Nyumba hii ipo katika mazingira mazuri, salama na yanayofaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa muda mrefu.

📞 Wasiliana sasa:
💼 Service Charge: TZS 30,000
📲 Instagram: dalali_kigamboni_plots_forsale

#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni DarEsSalaam LuxuryHome HouseForSale

SMART BROKER KIGAMBONI DSM,KIBADA,kisiwani,ferry,darajani Geza

dalali_kigamboni_simba_dsm

@dalali_kigamboni_simba_dsm

View Listings

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

SMART BROKER KIGAMBONI DSM,KIBADA,kisiwani,ferry,darajani Geza