Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kibugumo, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI KIBUGUMO
Unatafuta nyumba ya kisasa kwa bei nafuu katika eneo lenye maendeleo? Hii ni fursa nzuri kwako!
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Ipo katika hatua ya mwisho ya umaliziaji
โ
Vyumba 4 vya kulala
โ
Chumba 2 cha Master
โ
Sebule kubwa
โ
Jiko
โ
Eneo la SQM 600
โ
Tayari imezungushiwa fence na kuwekwa gate
โ
Barabara inafikika kwa gari hadi nyumbani
๐ Mahali:
๐ Kigamboni โ Kibugumo
๐ Mita 300 kutoka barabara kuu ya lami
๐ Kilomita 8 kutoka Feri ya Kigamboni
๐ Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei: TSh Milioni 65
๐ฟ Huduma na Mazingira:
โ๏ธ Umeme unapatikana
โ๏ธ Maji yanapatikana
โ๏ธ Mtaa mzuri, salama na wenye mazingira safi
โ๏ธ Eneo linaendelea kwa kasi na linafaa kwa makazi au uwekezaji.
๐ 0769554221
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateinvestment #tanzania
๐Nyumba zakuuza kigamboni
๐Viwanja kigamboni inzima
๐Nyumbakigamboni inzima















