Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Sh. 240,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISIWANI 🏑

Je, unatafuta nyumba yenye nafasi kubwa, mazingira mazuri na ipo karibu na miundombinu muhimu? Hii ndiyo fursa yako!

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 4 vya kulala (2 Master)
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Eneo la SQM 800
βœ… Kiwanja kimepimwa na kina Approved Plan
βœ… Kisima cha maji
βœ… Full paving
βœ… Electric fence
βœ… Pia kuna nyumba ndogo (boy’s quarter) ambayo haijakamilika yenye:

* Vyumba 2
* Sebule
* Jiko

πŸ“ Mahali: Kigamboni – Kisiwani

* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 5 kutoka Ferry
* Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere

🌿 Mazingira ni mazuri, mtaa umepangika na unafaa kwa makazi ya familia.

πŸ’° Bei: TZS Milioni 240
🀝 Mazungumzo yapo.

πŸ“ž0769554221

#trendingvideo #istagram #realestatemarket #realestateagent #tanzania

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam