Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Sh. 350,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISIWANI (KWA MKOREA), DAR ES SALAAM

Unatafuta nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu? Hii ni fursa nzuri kwako!

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 4 vya kulala (3 Master)
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa lenye makabati
βœ… Full AC
βœ… Electric Fence
βœ… Kisima cha maji
βœ… Paving ya kisasa
βœ… Decoration ya kisasa na finishing nzuri
βœ… Nyumba mpya kabisa

πŸ“ Mahali:
β€’ Mita 400 kutoka barabara ya lami
β€’ Kilomita 6 kutoka Feri ya Kigamboni
β€’ Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei: TZS Milioni 350 (Mazungumzo)

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam