Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Mjimwema - Kibugumu, Dar Es Salaam (700 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡🔥 BOMA LA KISASA LINAUZWA– KIGAMBONI MJIMWEMA, KIBUGUMO 🔥🏡
💎 FURSA NZURI YA KUJENGA NYUMBA YAKO YA KISASA!
Boma hili la kisasa linauzwa katika eneo zuri la Kigamboni Mjimwema – Kibugumu, likiwa tayari kwa kuendelea na ujenzi.
✨ SIFA ZA BOMA:
🛏️ Vyumba 4, vyote Master
🛋️ Sebule
🍽️ Dining
🍳 Jiko
⚡ Limefikishiwa umeme
🏗️ Makaravati ya chuma tayari yameshachimbwa
📐 Eneo takriban SQM 700
💰 BEI: TSH MILIONI 75
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
📍 LOCATION: KIGAMBONI MJIMWEMA – KIBUGUMO
🚗 Km 1 kutoka Baba Alami / Kibugumu Stendi
🚗 Km 7 kutoka Feri
🚗 Km 5 kutoka Kigamboni Darajani
🔥 Usikose fursa hii! Boma lina msingi mzuri wa kuendelea na nyumba yako ya ndoto.
📞
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















