Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara mwisho, Dar Es Salaam (3000 sqm)







Kimara, Ubungo, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 390,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
3000 SQM
Barabara ya Karibu
5m
Huduma na Sifa
Hati
Air Conditioning
Tiles
Makabati
Makabati ya Jiko
Feni
Maelezo
✨Nyumba nzuri sana na kubwa inauzwa Ina vyumba vinne (vitatu ni masterbedrooms vina makabati yanguo), sebule kubwa, dinning na jiko lakisasa Lina makabati mazuri sana full Ac & heater
✨Ina boycotta kubwa ya mfanyakazi au wageni
✨Documents: Ina hati miliki
✨Ukubwa sqmt 3,000
✨Location: Kimara mwisho -DSM (Dakika 5 kwa Mguu kutoka lami)
✨Bei million 390 (maongezi yapo kidogo)
0746 433 854
