Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Kivule, Ilala, Dar Es Salaam
4 months ago
Sh. 50,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Maelezo
NYUMBA MPYA,VYUMBA 4,TSHS.26 MILIONI,KIVULE.
Hapa ni kati ya KIVULE na MSONGOLA.
Jirani sana na Kituo cha Daladala.
Hii nyumba inahitaji umaliziaji mdogo.
Vyumba 4 ( Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja SQM.480.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv
