Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

NYUMBA MPYA,VYUMBA 4,TSHS.26 MILIONI,KIVULE.

Hapa ni kati ya KIVULE na MSONGOLA.
Jirani sana na Kituo cha Daladala.

Hii nyumba inahitaji umaliziaji mdogo.
Vyumba 4 ( Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.

Kiwanja SQM.480.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

______________mskv