Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam
Chamazi, Dar Es Salaam
21 days ago
Sh. 68,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBEI MILIONI 68 TU!
📍 Mahali: Mbagala Chamazi, Mtaa wa Dovya.
✨ Sifa za Nyumba: ✅ Vyumba 4 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom) ✅ Sitting Room kubwa ✅ Dining Room ✅ Jiko la kisasa ✅ Eneo kubwa lenye nafasi ya kuingiza magari madogo 3
Bei ni TSh Milioni 68 tu.
📞 Kwa maelezo zaidi au kupanga kwenda kuikagua, piga simu: 0683 665504.
Wahi sasa kabla haijauzwa!















