Tafuta

Nyumba ya vyumba vitano inapangishwa Goba / Makabe, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 600,000/month

Maelezo

โš ๏ธ STAND-ALONE INAPANGISHWA:

Nyumba za namna hii hazikaagi sokoni kabisa! Watu ni wengi na wanaoiwahi ndio watakaochukua. Kama unatafuta utulivu wa stand-alone kwa bei ya mchongo, changamkia fursa hii sasa hivi kabla haijachukuliwa!

๐Ÿ“ MAHALI: Njiapanda ya Goba / Makabe

๐Ÿ”ฅ SIFA ZA NYUMBA:
๐Ÿ›๏ธ Vyumba Vitano (5) vya kulala.

๐Ÿšฟ Vyumba Vitatu (3) ni Master bedrooms.

๐Ÿ›‹๏ธ Sebule kubwa (Sitting room).

๐Ÿฝ๏ธ Dining Room ya kutosha.

๐Ÿณ Jiko Kubwa la kisasa.

๐Ÿ’ฐ KODI: Laki 6 tu (600,000/=) kwa mwezi!

๐Ÿ›‘ ANGALIZO: Usiseme hatukukuambia! Nyumba za stand-alone maeneo haya zinagombaniwa sana. Wahi sasa hivi kabla mteja mwingine hajaweka hela!

Call/WhatsApp..0684561351

Matangazo mengine Goba, Dar Es Salaam