Nyumba ya vyumba vitano inapangishwa Kigamboni Mikwambe Fancity, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – KIGAMBONI MIKWAMBE FANCITY 🏡
✨ Nyumba ya kisasa inayojitegemea kabisa, yenye mazingira mazuri na salama kwa familia.
✅ Vyumba 5 vyote Master
✅ Boys Quarter vyumba 2
✅ Full AC kwenye vyumba vyote
✅ CCTV Camera
✅ Garden nzuri
✅ Full Paving
✅ Parking kubwa ya kisasa
✅ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu
📍 Maelekezo:
✔️ Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
✔️ Usafiri wa boda boda Sh 1,000 tu
💰 Kodi: Milioni 1.2 kwa mwezi
🗓️ Malipo kuanzia miezi 4 na kuendelea
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania🇹🇿 #trendingaudio















