Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Chamazi Shule, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā CHAMAZI SHULE š
Bei: Milioni 49 (Mazungumzo yapo)
Nyumba ipo eneo la Chamazi Shule, umbali wa dakika 4 tu kutoka barabara kuu ya lami kwa mwendo wa kawaida. Eneo zuri na tulivu kwa makazi ya familia. š„
⨠Sifa za Nyumba:
ā
Vyumba 5 vya kulala
ā
Chumba 1 Master Bedroom
ā
Umeme upo
ā
Maji yapo
ā
Mazingira mazuri na salama
š Hii ni fursa nzuri sana kwa mwenye kutafuta nyumba kubwa kwa bei nafuu. Wahi site ukague mwenyewe kabla haijachukuliwa.
š Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504















