Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
🏡 NYUMBA MPYA INAUZWA – KIGAMBONI FANI CITY 🏡
Unatafuta nyumba nzuri ya kuhamia mara moja? Hii ni fursa yako!
✨ Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 5 vya kulala
✅ SEBULE& Diining
✅ Jiko
✅ Nyumba mpya kabisa, tayari kwa kuhamia
✅ Maji yanapatikana
✅ Paving nzuri
✅ Mazingira safi na mtaa mzuri
📍 Mahali: Kigamboni – Fani City
* Kilometers 1 kutoka barabara ya lami
* Km 12 kutoka Ferry
* Km 11 kutoka Daraja la Nyerere (Kigamboni)
💰 Bei: TZS Milion,170
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















