Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mji Mwema Kibugumo, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Maelezo
🏡 NYUMBA KALI INAUZWA – KIGAMBONI, MJI MWEMA KIBUGUMO 🏡
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo zuri la Kigamboni? Hii ndiyo fursa yako!
✅ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko la kisasa
✅ Eneo la SQM 600
✅ Limezungushiwa fence
✅ Mita 400 tu kutoka barabara ya lami
✅ Mazingira tulivu yenye huduma zote muhimu
Nyumba imejengwa kwa matumizi ya familia, ni imara, haina changamoto yoyote, na inafaa kwa makazi pamoja na uwekezaji.
💰 Bei: TSh Milioni 72 tu (Mazungumzo yapo)
📞 Wasiliana nasi leo kupanga kuitembelea.
💼 Service Charge: TSh 30,000
📱 Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















