Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)

video thumbnail
Sh. 100,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Barabara ya Lami
Dining
Jiko
Sebule

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBUGUMO)

Usikose fursa ya kumiliki nyumba nzuri iliyopo katika mazingira tulivu na yanayokua kwa kasi, inayofaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.

πŸ“ Mahali:, Kigamboni (KIBUGUMO )

✨ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 4
* Vyumba 3 ni Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko
* Eneo la SQM 700
* Kiwanja kimepimwa na kina Approved Plan

πŸ“ Umbali:

* Mita 100 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere

🌿 Nyumba ipo kwenye eneo zuri lenye barabara nzuri, mazingira salama, na majirani waliokaa vizuri.

πŸ’° Bei: TZS 100,000,000 (Mazungumzo kidogo yapo.)

πŸ“ž0769554221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio