Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI, KIBUGUMO)
Usikose fursa ya kumiliki nyumba nzuri iliyopo katika mazingira tulivu na yanayokua kwa kasi, inayofaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
๐ Mahali:, Kigamboni (KIBUGUMO )
โจ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 4
* Vyumba 3 ni Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko
* Eneo la SQM 700
* Kiwanja kimepimwa na kina Approved Plan
๐ Umbali:
* Mita 100 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฟ Nyumba ipo kwenye eneo zuri lenye barabara nzuri, mazingira salama, na majirani waliokaa vizuri.
๐ฐ Bei: TZS 100,000,000 (Mazungumzo kidogo yapo.)
๐
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















