Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Msongola, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Maelezo

NYUMBA YAKUMALIZIA,VYUMBA 5,TSHS.30 MILIONI,MSONGOLA.

Hapa ni Gari moja tu kufika Mjini/Kariakoo.
Kila Chumba kina Choo chake cha ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 250.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Wahi Uikomboe Familia yako.
MAKAZI NDIO MPANGO MZIMA.

Huduma za Umeme na Maji zipo.
Kifupi unaweza KUIHIFADHI FAMILIA MOJAKWAMOJA.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_________________msf