Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Bunju Moga, Dar Es Salaam

Maelezo
ββ
π‘β¨ GHOROFA YA KUJITEGEMEA INAPANGISHWA! β¨π‘
π Location: Bunju Moga
π£οΈ Karibu na barabara ya lami
π° Bei: TSh 1,400,000 kwa mwezi
π Sifa za Nyumba:
ποΈ Vyumba 3 moja masta
Sebule kubwa
Jiko lenye makabati pamoja na stoo
πͺ Vyumba vyote vina makabati ya nguo
Pia βοΈ AC imewekwa kwenye vyumba vyote
π‘ Ghorofa ya kujitegemea πΏ Mazingira yanaboreshwa zaidi π³ Garden ya kisasa inawekwa pembeni kuongeza uzuri wa mazingira
π’ Nyumba nzuri kwa familia inayotafuta nafasi, usalama na mazingira ya kisasa.
π Wasiliana nasi sasa kupanga muda wa kuja kuiona na kufanya malipo. πβ¨
0712500602
0755336565















