Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAPANGISHWA β KIMARA SUKA 1KM
ZIPO 2 TU KWENYE FENCE
Nyumba nzuri inapatikana Kimara Suka.
π 1km kutoka stand ya Suka
Maelezo ya nyumba: β
Vyumba 3 (kimoja master bedroom)
β
Sebule kubwa
β
Jiko kubwa
β
Public toilet
β
Umeme na maji inajitegemea
β
a/c kwenye master na sebule
β
Ipo ndani ya fensi
Kodi 500.000 x miezi 6
Kwenda kuona nyumba ni Tsh 20,000.
Malipo ya udalali:
Mpangaji atamlipa agent kodi ya mwezi mmoja pindi atakapolipia nyumba.
##0688617926
##0655256419















