Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kinyerezi Mongolandege, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 700,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Huduma na Sifa

Maji
AirBnb
Umeme
Mita ya Maji Inajitegemea
Feni
Heater

Maelezo

πŸ“’ NYUMBA YA KUPANGISHA – KINYEREZI MONGOLANDEGE 🏑

Nyumba nzuri ya kisasa standalone inapangishwa kwenye eneo tulivu na salama.

✨ Sifa za nyumba:
β€’ Vyumba 3 (kimoja ni master)
β€’ Sebule kubwa na ya kisasa
β€’ Jiko lenye makabati ya juu na chini
β€’ Water heater
β€’ Full AC nyumba nzima
β€’ Electric fence kwa usalama
β€’ Maji ya uhakika (DAWASA) + kisima cha ziada

πŸ“ Location: Kinyerezi Mongolandege, mtaa mzuri na unaofikika kirahisi

πŸ’° Kodi: 700,000/= kwa mwezi
πŸ“† Malipo: Miezi 6
πŸ” Security deposit: 700,000/=

🧾 Service charge: 20,000/=
πŸ“ž Wasiliana: +255 688 412 890

πŸ‘‰ Karibu sana ndugu mteja, nyumba ni bora kwa familia. Simple and clean.

Tafuta unachotaka Kinyerezi, Ilala, Dar Es Salaam