Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kinyerezi Mongolandege, Dar Es Salaam

Kinyerezi, Ilala, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 700,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Huduma na Sifa
Maji
AirBnb
Umeme
Mita ya Maji Inajitegemea
Feni
Heater
Maelezo
π’ NYUMBA YA KUPANGISHA β KINYEREZI MONGOLANDEGE π‘
Nyumba nzuri ya kisasa standalone inapangishwa kwenye eneo tulivu na salama.
β¨ Sifa za nyumba:
β’ Vyumba 3 (kimoja ni master)
β’ Sebule kubwa na ya kisasa
β’ Jiko lenye makabati ya juu na chini
β’ Water heater
β’ Full AC nyumba nzima
β’ Electric fence kwa usalama
β’ Maji ya uhakika (DAWASA) + kisima cha ziada
π Location: Kinyerezi Mongolandege, mtaa mzuri na unaofikika kirahisi
π° Kodi: 700,000/= kwa mwezi
π Malipo: Miezi 6
π Security deposit: 700,000/=
π§Ύ Service charge: 20,000/=
π Wasiliana: +255 688 412 890
π Karibu sana ndugu mteja, nyumba ni bora kwa familia. Simple and clean.
