Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Majengo, Kilimanjaro







Sh. 400,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – MARENGO, MOSHI, TANZANIA 🏡
Unatafuta nyumba yenye nafasi kubwa na mazingira tulivu? Hii ndiyo fursa yako!
Maelezo ya nyumba:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
🛋️ Sebule (Living Room)
🍽️ Dining Room
🍳 Jiko
🚿 Master Bedroom yenye choo na bafu ndani
🚻 Public Toilet & Bathroom
🌳 Eneo zuri, salama na tulivu
📍 Mahali: Marengo, Moshi, Tanzania
💰 Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
Inafaa kwa familia au watu wanaotafuta makazi yenye nafasi na faraja.
📞 Kwa maelezo zaidi au kupanga kuja kuiona nyumba, wasiliana nasi leo.
Karibu uione na ujionee mwenyewe! 🏠


