Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam







Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
1 day ago
Sh. 500,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Barabara ya Karibu
1.3km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Luku Inajitegemea
Maji
Parking Space
Uzio
Makabati ya Jiko
Feni
Maelezo
NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE MBEZI KWA MSUGURI KM1.3 KUTOKA LAMI
----
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa la kisasa lina makabati
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa
------
Service charge 20,000
Kodi 500,000x6
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja tu
-------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#Dalali_big_kimara
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏
