Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Sinza Mori, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,800,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Parking Space
Public Toilet
Feni
Sebule Kubwa Sana
Jiko La Kisasa

Maelezo

STAND ALONE KALI INAPANGISHWA – SINZA MORI ✨
Nyumba ya kifahari, safi na ya kisasa kabisa

✔️ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
✔️ AC ipo
✔️ Sebule kubwa sana yenye muonekano wa kuvutia
✔️ Jiko la kisasa kabisa
✔️ Parking kubwa
✔️ Public toilet
✔️ mazingira salama
✔️ Nyumba ina muonekano mzuri sana wa kuvutia

💰 Bei: Tsh 1,800,000/= kwa mwezi
💸 Service charge: 30,000/=

📞 Call / WhatsApp: 0787 093 748