Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Barabara ya Karibu
3minutes
Huduma na Sifa
Maelezo
π NYUMBA INAPANGISHWA β TABATA SEGEREA
Unatafuta nyumba nzuri ya kuishi? Hii ndiyo fursa yako!
π‘ Sifa za nyumba:
* Vyumba 3 (1Master Bedroom)
* Sebule kubwa
* Jiko la kisasa lenye makabati
* Store
* Choo cha wageni (Public)
* Maji ya DAWASCO
* Water reserve tank
* Parking ya kutosha
* Iko pekee ndani ya fensi
* Mazingira safi, tulivu na salama
* Dakika 3 tu kutoka barabara ya lami
π° Kodi: TSh 600,000 kwa mwezi
π
Malipo: Mwaka mmoja (miezi 12) mbele
πΌ Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja (TSh 600,000)
π΅ Service Charge: TSh 20,000/=
π Muhitaji piga: +255 652 692















