Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam

Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, FANI CITY π‘
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Fani City, Kigamboni.
β
Vyumba 3 (Viwili aster Bedroom)
β
Sebule kubwa
β
Jiko
β
Ukubwa wa kiwanja: 400 Sqm
Good News! π
Nyumba imekamilika kwa takribani asilimia 80.
βοΈ Milango imefungwa
βοΈ Umeme umefungwa tayari
βοΈ Mfumo wa taa na bodi ya umeme umekamilika
βοΈ Zimebaki kazi chache za umaliziaji kama kuweka tiles na finishing nyingine ndogo ndogo.
π Mahali ilipo:
β’ Mita chache kutoka Barabara ya Alami
β’ Kilomita 9 kutoka Feri
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 65
Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi makini.
Usikose nafasi hii ya kumiliki nyumba kwa bei nafuu na kukamilisha umaliziaji kulingana na ladha yako.
π 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio















