Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA NZURI INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA 🔥 O719969102
Unatafuta nyumba ya kisasa iliyo karibu na barabara ya lami? Hii ni fursa ya kipekee kwa familia au mwekezaji.
📍 Location: Kigamboni, Kibada – Dar es Salaam.
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Mita 100 tu kutoka barabara ya lami
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko la kisasa
✅ Eneo la Sqm 600
✅ Limepimwa na lina Hati ya Wizara
✅ Paving Block
✅ Parking ya kutosha
✅ Parking Shed
✅ Garden nzuri
✅ Fensi imara na geti
✅ Mazingira tulivu, salama na neighbourhood ya kiwango cha juu
💰 Bei: TZS Milioni 265 (Mazungumzo yapo)
🏠 Inafaa kwa makazi ya familia, nyumba ya kupangisha au uwekezaji wenye thamani ya muda mrefu.
📞 Wasiliana nasi: O719969102
.















