Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Chekechea, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 250,000,000

Maelezo

NYUMBA INAUZWA โ€“ KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA

๐Ÿ”ฅ NYUMBA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI! ๐Ÿ”ฅ

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo zuri na linalokua kwa kasi Kigamboni โ€“ Kibada Chekechea.

โœจ SIFA ZA NYUMBA:
โœ… Vyumba 3
โœ… Chumba 1 Master
โœ… Sebule kubwa
โœ… Jiko
โœ… Nyumba ipo kwenye eneo zuri na tulivu
๐Ÿ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 800
๐Ÿ“„ Hati: Hati ya Wizara

๐Ÿ“ UMBALI:
๐Ÿ“Œ Takribani mita 300 kutoka Baba Alami
๐Ÿ“Œ Kilomita 9 kutoka Ferry
๐Ÿ“Œ Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni

๐Ÿ’ฐ BEI: TZS MILIONI 250
๐Ÿค Mazungumzo kidogo yapo.

๐Ÿ”ฅ Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.

๐Ÿ“ž 0769 554 221
๐Ÿ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 800,000,000

For Sale4 beds4 baths600 sqmhouse