Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha (Kwa Mathias), Pwani (1863 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
4
Ukubwa
1863 SQM
Barabara ya Karibu
2.5km — Morogoro Road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA KIBAHA (Kwa Mathias) 2.5 kilometers kutoka Morogoro road. 165 millions mazungumzo yapo Ukubwa wa kiwanja: Square meters 1863 Umiliki: Hati miliki kutoka Wizarani (Title Deed) Muundo wa Nyumba: ✅️Vyumba vitatu vikubwa (vyote ni master bedrooms) ✅️ Sebule kubwa ✅️ Dining Room ✅️ Jiko kubwa ✅️ Choo cha familia ✅️ Air Condition (sebule & chumba kimoja) ✅️ Ipo ndani ya fensi 💳 Malipo ya awamu 2 yanakubalika 🛣️ Huduma zote za kijamii zipo jirani 0714733355 nipigie/WhatsApp















