Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (405 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS umbali wa Dk 4 kutoka stend ya daladala
NYUMBA ipo Karibu kabisa na barabara kubwa ya lami ya morogoro road
Nyumba inauzwa TSH MILLIONI 25 MAONGEZI YAPO.
NYUMBA ina VYUMBA V3 VYA KULALA, KIMOJA MASTER, SEBULE,JIKO NA PUBLIC TOILET
Ukubwa wa KIWANJA ni mita 27 KWA 15
HATI YA MAUZIANO SELIKALI YA MTAA
SERVICE CHARGE TSH 30,000
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU
☎️ O719969102















